KUFELI SHULE SIO KUFELI MAISHA
KUFELI SHULE SIO KUFELI MAISHA
Feb 09Imenibidi niandike hii mada kutokana na watu ambao wanashadadia matokeo ya wenzao na kuyaandikia status kabisa haswa Facebook na Twitter…Hivi kwanini mtu unaanza tu kushabikia matokeo ya mwenzako tena mtu kama kafeli ndio unaandika kabisa Kiko wapi? mara blah blah?? Why is that?
Yani kama matokeo ya mtoto wa Rais wetu,Mwanaasha Jakaya Kikwete yamekuwa gumzo nchi zima utafkiri huyo Mwanaasha sio binadamu kama binaadamu wengine..Kisa kapata division four..Haya hapo angepata One pia tungeeongea Ohh kapewa majibu!! Jamani kwanini Watanzania tunakua hivi?
Sitetei mtu kufeli ila jamani inatubidi tujue kuwa Kufeli nayo ni moja wapo ya hatua katika maisha…Wangapi wamefauli form 4,form 6 na leo wako wapi??? na wangapi hawajafika hata la saba lakini leo hii wanaonekana katika jamiii kuwa ni WATU?? Hebu tujifunze..
Na nafikiri kuwa kwa hawa wote wanaoshadadia wenzao kufeli labda hawajawi kufeli katika maisha yao, Ikikutokea utajua uchungu wa kufeli unaumaje na hata matokeo yakitoka unakua hauna mzuka nao Kwasababu unajua jinsi gani KUFELI inavyouma….I been there!
Cha msingi mpe moyo mtu halafu kufeli shule sio Kufeli Maisha Jamani though Education is sexy and Nasisitiza tena kuwa sitetei Kufeli ila atlist tujiweke kwenye viatu vya yule aliyefeli,ndio utajua namaanisha nini…
NI HAYO TU!



Sarah Crystal ,born in the 80´s & the last born of a family of 2 Siblings.I started blogging in 2007..Yesss,Im one of them Legendaries In Tanzania Blogging Industry.
By proffesional a Journalist and writing is something that I have been always loving ever since In my early Age.Special thanks to our Almight Jesus Christ for giving me this Opportunity of owning a beautiful blogsite that you are ON right now and I also appriciate every beat of yall in here...
Never hesitate to write me,advice or send anything that will be delicious for our Angalia-bongo.com BUT sorry No politics....Email me; angaliabongo@yahoo.com
Follow Angalia Bongo on twitter www.twitter.com/angaliabongo
...Always Love-; Sarah C.
“kufeli shule sio Kufeli Maisha”.. ni kweli! na bila ya kufeli hatuwezi kujua mafanikio! ninsoza!!
wabongo wanachuki zao yule ni binadamu kama wengine wote na hao wanaomsema wasijifananishe nae yule atapelekwa zake nje ya nchi na atapiga kitabu akirudi hapa anamasters tayari wanaosema watabaki kupiga majungu mwenzao anasonga mbele.
wabongo wanachuki zao yule ni binadamu kama wengine wote na hao wanaomsema wasijifananishe nae yule atapelekwa zake nje ya nchi na atapiga kitabu akirudi hapa anamasters tayari wanaosema watabaki kupiga majungu mwenzao anasonga mbele.
Da bora ulivyowambia man kuna watu awana story zaid y kuwazngmzia wa2 waliofer asa pand fulan
Kfeli n kfeli,
&
ku-pass n k-pass tu…
*watu,
wanaangalia shule ya mtu mliyosoma..
Ndiyo waweza sema kitu..
Mf,
_unaweza vp soma shule yenye walimu wakutosha pia,mnajaliwa na kufatiliwa vzr..then unpiga 4..tena peke yk(UZEMBE)
Xax,
utamlinganish vp na yle anayesoma shule zsizo na walimu,then akafel…
*Kpass au kufel_
n chaguo la m2,jpokuwa mazingir n km sababu mama..
N kawaida,w2 ksema w2 wanapofel..lkn,kikubwa ni mazingira ya usomaj ya m2 hy n muhimu kuangaliwa…
_KAMA UZEMBE,
TUSEME…
daa bola ulivyowachana watu namna hiyo yaani wanaboa kichizi,huyo ni mwanafunzi kama wanafunzi wengine,hiyo ni haki yake aliopata,cha muhimu wabongo tubadilike tusifurahie kufali kwa wenzetu katika kila kitu
je kam yeye kafel anakusaidia nini?